Pasta, mtoto wake wakabiliana vikali kanisani kufuatia uhusiano na mmoja wa waumini wa kike
Kulitokea sarakasi kubwa katika kijiji cha Kiritiri, Kaunti ya Embu baada ya baba na mwanawe kugombana nusura kushikana mashati kuhusu kipusa wliyekuwa akishiriki kanisa moja nao. TUKO.co.ke imengamua kuwa, baba ambaye ni pasta katika kanisa hilo eneo la Kiritiri Kaunti ya Embu, inadaiwa alimkaripia mwanawe hadharani na kumrushia maneno makali ya kumuonya dhidi ya kumpotosha